vodacom

vodacom

movie

Utalii

Tangaza Biashara Yako Nasi..


+255758061575 & umojannguvu@gmail.com

umj

katiba

katiba

bloger

bloger

Blog

Blog

slider1

slider

Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam Wezesha na MB Mobile! Kilimo ndo Mpango Mzima. Authorities allow railway to pass through national parks & Maendeleo Agricultural Technology Fund Tanesco Na Maendeleo Welcome to Maendeleo Bank PLC

Sunday, September 13, 2015

Je, kunatofauti kati ya mfanya biashara na mjasilia mali?





Imekuwa shughuli pevu kwa vijana wengi kupata ajira siku hizi ,Wengine wanakaa wakisubiri fursa ziwadondokee kama mvua ,wengine wanajishughulisha kuzitafuta n ahata kubuni namna ya kuzitengeneza ,Tunaona kwamba fursa fursa hizi zina kuja katika sura ya tofauti tofauti ,nyingi huwa ni biashara  ndogo ndogo  na nyingine hukua zikawa biashara bab kubwa !


Ila, tunasho shindwa kukielewa kama vijana ni kwamba biashara hazidondoki kutoka hewani ,hata kama una mtaji mkubwa ,kuna kitu ambacho wataalamu wanakiita nia thabiti katika ujasiliamali,ambacho wengi wetu ama hatukifahamu au tunashindwa kukiona,

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mfanya biashara na mjasiliamali ,Ujasilia mali ni dhana “inayotujengea uwezo  sisi vijana kujitengenezea ajira na kuwatengenezea wengine fursa za ajira” Hatimaye tunachangia katika kuondoa umaskini katika maisha yetu na hata katika yaw engine 

Ukifungua katika kamusi ya kimombo utaona kwamba neon ‘entrepreneurship’ yaani ujasiliamali limetokana na neon enterprise” neon ambalo lina maana lukuki ambazo zina ashiria sifa za vijana ,kama shauku ,uwezo,ari,kujituma,kuvumbua,ujasiri,bidi,malengo,enye nguvu,enye kuthubutu,enye uzima na mengine mengi,

Je, wewe ni mjasiriamali au ni mfanya biashara

Ukweli ni kwamba kila mjasiriamali ni mfanya biashara ila sio kila mfanya biashara ni mjasiriamali,Mjasiriamali ni mfanya biashara  ambaye aridhishwi na juhudi alizokwishazifanya katika shughuli zake na kila mara anakuna kichwa kubuni njia zingine zitakazo mwezesha kukua kimaendeleo.
Fursa ni yako sasa wewe kama kijana kujiajili na sio kukaa tu nyumbali kusubiri mazali ya kazi”



No comments:

Post a Comment

perPage: 7,