vodacom

vodacom

movie

Utalii

Tangaza Biashara Yako Nasi..


+255758061575 & umojannguvu@gmail.com

umj

katiba

katiba

bloger

bloger

Blog

Blog

slider1

slider

Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam Wezesha na MB Mobile! Kilimo ndo Mpango Mzima. Authorities allow railway to pass through national parks & Maendeleo Agricultural Technology Fund Tanesco Na Maendeleo Welcome to Maendeleo Bank PLC

Sunday, September 13, 2015

JE UNATAKA KUJUA JINSI YA KUINSTALL OPERATING SYSTEM UKIWA NYUMBANI

Unaweza kujitengenezea kipato wewe mtanzania kwa kujiajili katika shughuli mbalimbali,Sio lazima uajiliwe katika makampuni makubwa ama serikalini ama mahala popote bali unaweza ukabuni namna yoyote ya kutengeneza kipato na kutimiza ndoto zako, Kwako mwanafunzi unae maliza chuo sasa ama uliepo nyumbani tu una computer yako ila una shindwa utaanza vipi kujikimu kimaisha hii ni fursa yako sasa kujua jinsi ya kuandaa Operating system (OS)  na kufanya installation katika Computer yoyote.
Kuna njia mbali mbali za kuweza kuweka Operating system (OS) katika computer yako leo nitakupa Njia mbili ambazo ni rahisi Zaidi kwako.
Katika njia zote hizo ni kwajili ya Windows 7 zote pamoja na Windows 8 zote 
VIFAA VYA KUWA NAVO KABLA HUJAANZA CHOCHOTE

Kwa njia ya kwanza hakikisha una flash Drive ambayo itakulazimu uifanye kuwa bootable bila ya kufanya hivo itakuwa sio rahisi kukamilisha zoezi lako isipo kuwa kama computer yako itaweza ku boot hivo hivo,Je utaifanya vip Flash yako iweze ku boot
POWER ISO 
Power Iso ni software inayo weza kukusaidia kutengeneza flash iweze ku boot unaweza kupata software hiyo kwa kubofya hapa http://www.poweriso.com/thank-you.htm
Kabla ya kuaandaa flash yako kumbuka window 7 au 8 itakuwa katika muonekano huu




Hakikisha ina kuwa katika mfumo wa image kama picha inavo onesha hapa chini



Baada ya kufungua software ya power Iso copy mafile ya windows na paste katika uwanja wa power iso the uta save file yako as (.Iso) image utakuwa umebadilisha

 ANDAA FLASH IWEZE KU BOOT KATIKA COMPUTER

Fuata hatua zifuazazo

Juu kabisa ya software nenda katika uwanja umeandikwa tools bofya hapo itakuja menu ina vitu vingi  wewe utachagua create bootable Usb Drive itafunguka box hii hapa 
Wakati huo umechomeka flash yako katika Computer hatua inayo fuata ni ku bofya mahali pameandikwa image source file mahali ulipo save image yako ya window itakuletea window zote zilizo katika mfumo wa image kama hivi



Chagua window unayo taka then Bonyeza Start Button Software itafanya kazi yake mpaka mwisho itakuambia ume fanikiwa sasa una weza ukaweka flash katika computer yoyote na kuweka wendow bila shida.

JINSI YA KUINSTALL WINDOW KATIKA COMPUTER YAKO BAADA YA KUANDAA FLASS



Weka Flash yako katika computer alafu zima computer yako baada ya hapo washa ,kabla computer haijawaka press button F12 juu kabisa ya computer yako au minya escape 
Baada ya hapo computer itakudai unataka kuboot toka wapi basi chagua mahali pa usb and flash drive uweze ku boot flash yako. Hapo window itafanya installation hadi mwisho kabisa na hatua zingine ni za kawaida tu kuset password pamoja na kuandika user name ya computer.
JINSI YA KU INSTALL LINUX KATIKA COMPUTER
Kuna software mbali mbali zinazo weza kusaidia kutengeneza flash yako iweze ku boot linux katika flash yako
Unetbootin-windows-585, Ni moja ya software nzuri na rahisi kukusaidia kutengeneza flash yako iweze ku boot linux
Muonekano wake ni kama hivi hapo chini

Ni rahisi kutumia kuliko Power iso lakin hakikisha linux yako iwe katika mfumo wa image

Asante sana ndugu msomaji 

Mimi mwandishi wako henry Lameck unaweza wasiliana nami moja kwa moja katika email yangu hapa chini
 
pia +255765327325
      +255766518985


No comments:

Post a Comment

perPage: 7,